
mastaa wa Tanzania ikiwemo Akadumba ya Ney wa Mitego,Asante ya AY,Mfalme ya Mwana Fa na zingine kibao. Huyu anaitwa Ruby msichana ambaye alizaliwa kupitia mashindano ya Serengeti Super Nyota Diva 2014,hii ni video ya single yake mpya Na yule,itazame hapa mtu wangu
EmoticonEmoticon